JIACHIE

Karibuni Jamvini Wanajamii

Tangaza Hapa

Post Top Ad


ASKARI POLISI ANATAFUTWA NA JESHI LA POLISI BAADA YA KUBAINIKA KUJIPATIA AJIRA KWA VYETI VYA KUGUSHI.

Share This
Askari wa kikosi cha kuzuia ghasia katika jeshi la Polisi mkaoni Ruvuma F 5425 PC Emmanuel Nyagoli ( 35), anatafutwa na Jeshi hilo kwa kosa la kujipatia ajira kwa vyeti vya Kugushi, Na kwasasa hajulikani alipokimbilia. Taarifa zaidi hii hapa RUVUMA TV.

No comments:

Post a Comment

Post Bottom Ad